437 – Nilimuuliza kuhusu dalili inayotumiwa na baadhi yao kwa Hadiyth isemayo:
“Wala hakuswali baina yake wala baada ya mojamoja kati ya hizo.”
juu ya kwamba hakuswali Witr usiku huo?
Jibu: Hapana. Hii ni baada ya swalah moja kwa moja hakuswali swalah ya Sunnah. Witr ni swalah nyingine. Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiswali Witr akiwa mjini na safarini.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 141
- Imechapishwa: 29/08/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
437 – Nilimuuliza kuhusu dalili inayotumiwa na baadhi yao kwa Hadiyth isemayo:
“Wala hakuswali baina yake wala baada ya mojamoja kati ya hizo.”
juu ya kwamba hakuswali Witr usiku huo?
Jibu: Hapana. Hii ni baada ya swalah moja kwa moja hakuswali swalah ya Sunnah. Witr ni swalah nyingine. Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiswali Witr akiwa mjini na safarini.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 141
Imechapishwa: 29/08/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/witr-safarini-na-katika-hali-ya-ukazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
