Swali: Kuna mwanamke zimemtoka nywele za kichwani kwa sababu ya saratani – Allaah atulinde sisi na nyinyi kutokamana nayo. Je, inafaa kwake kuvaa wigi? Afanye nini?
Jibu: Hapana. Wigi ni kuunganisha nywele. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mwanamke mwenye kuunganisha na kuunganishwa nywele. Afanye subira. Allaah akitaka nywele zake zitaota tena. Afunike kichwa chake na asubiri. Allaah akitaka nywele zake zitaota tena.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 23/04/2021
Swali: Kuna mwanamke zimemtoka nywele za kichwani kwa sababu ya saratani – Allaah atulinde sisi na nyinyi kutokamana nayo. Je, inafaa kwake kuvaa wigi? Afanye nini?
Jibu: Hapana. Wigi ni kuunganisha nywele. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mwanamke mwenye kuunganisha na kuunganishwa nywele. Afanye subira. Allaah akitaka nywele zake zitaota tena. Afunike kichwa chake na asubiri. Allaah akitaka nywele zake zitaota tena.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 23/04/2021
https://firqatunnajia.com/wigi-kwa-mwanamke-mwenye-kansa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)