Swali: Baadhi ya watu wanamwambia mtu mwema kuwa ni katika watu wa Peponi – Allaah akitaka. Je, kuna ubaya wowote kusema hivo?
Jibu: Bora ni yeye kusema “Nataraji utakuwa katika watu wa Peponi”. Vinginevyo hapana vibaya maadamu amesema “Allaah akitaka”. Hata hivyo bora ni kusema “Nataraji utakuwa katika watu wa Peponi”.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22740/هل-يجوز-الحكم-للرجل-الصالح-بالجنة
- Imechapishwa: 12/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)