Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wewe na mali yako ni milki ya baba yako.”[1]
Je, anaingia pia mama?
Jibu: Udhahiri, hapana. Ni jambo maalum kwa baba. Hata hivyo ni vyema akimpa kwa ajili ya kumtedea wema na ihsani mama na kumridhisha.
[1] Abu Daawuud (3530), Ibn Maajah (2292) na Ahmad (7001). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan Ibn Maajah” (1870).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
- Imechapishwa: 12/07/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wewe na mali yako ni milki ya baba yako.”[1]
Je, anaingia pia mama?
Jibu: Udhahiri, hapana. Ni jambo maalum kwa baba. Hata hivyo ni vyema akimpa kwa ajili ya kumtedea wema na ihsani mama na kumridhisha.
[1] Abu Daawuud (3530), Ibn Maajah (2292) na Ahmad (7001). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan Ibn Maajah” (1870).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
Imechapishwa: 12/07/2024
https://firqatunnajia.com/wewe-na-mali-yako-ni-milki-ya-baba-yako-na-si-mama-yako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)