Swali 558: Nilimtajia Shaykh wetu maneno ya Abul-´Abbaas Ibn Taymiyyah:
“Sijui yeyote aliyepambanua kati ya talaka tatu zilizotolewa pamoja au zilizotenganishwa.”
Jibu: Nami sijui yeyote aliyesawazisha kati ya hizo.
Swali 559: Vipi ikiwa mtu atasema: “Wewe ni haramu kwangu na kwangu umeachika”?
Jibu: Ikiwa alikusudia kusisitiza jambo au kuzuia kitu, basi kuna kafara ya kiapo kwa mujibu wa wanazuoni waliotafiti suala hilo kwa kina.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 189
- Imechapishwa: 11/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 558: Nilimtajia Shaykh wetu maneno ya Abul-´Abbaas Ibn Taymiyyah:
“Sijui yeyote aliyepambanua kati ya talaka tatu zilizotolewa pamoja au zilizotenganishwa.”
Jibu: Nami sijui yeyote aliyesawazisha kati ya hizo.
Swali 559: Vipi ikiwa mtu atasema: “Wewe ni haramu kwangu na kwangu umeachika”?
Jibu: Ikiwa alikusudia kusisitiza jambo au kuzuia kitu, basi kuna kafara ya kiapo kwa mujibu wa wanazuoni waliotafiti suala hilo kwa kina.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 189
Imechapishwa: 11/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/wewe-kwangu-ni-haramu-ii/