Swali 657: Je, makafiri wanaitwa ”wenye akili”?
Jibu: Katika mambo ya dunia, huitwa hivyo. Ama katika Aakhirah hapana[1].
[1] Shaykh Ibn ´Uthaymiyn amesema vivyo hivyo aliposema: “Kama ni akili inayoongoza kwenye ukomavu na uwongofu, hapana.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 239
- Imechapishwa: 21/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 657: Je, makafiri wanaitwa ”wenye akili”?
Jibu: Katika mambo ya dunia, huitwa hivyo. Ama katika Aakhirah hapana[1].
[1] Shaykh Ibn ´Uthaymiyn amesema vivyo hivyo aliposema: “Kama ni akili inayoongoza kwenye ukomavu na uwongofu, hapana.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 239
Imechapishwa: 21/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/wenye-akili-katika-mambo-ya-kilimwengu/