Baada ya hapo wameuliza maswali muhimu. Baadhi ya maswali hayo yanahusu jumuiya na mengine yanahusu al-Ikhwaan al-Muslimuun. Ni katika fadhila za Allaah ujiwekaji mbali kutokamana na al-Ikhwaan al-Muslimuun umekuwa ni mkubwa iwezekanavyo. Naweza kuapa kwa Allaah ya kwamba wengi ambao wako na al-Ikhwaan al-Muslimuun wako nao kwa ajili ya tu ya maslahi ya kidunia. Wengi walionao wako nao kwa ajili ya maslahi ya kidunia.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/sounds.php?sound_id=27
- Imechapishwa: 03/05/2020
Baada ya hapo wameuliza maswali muhimu. Baadhi ya maswali hayo yanahusu jumuiya na mengine yanahusu al-Ikhwaan al-Muslimuun. Ni katika fadhila za Allaah ujiwekaji mbali kutokamana na al-Ikhwaan al-Muslimuun umekuwa ni mkubwa iwezekanavyo. Naweza kuapa kwa Allaah ya kwamba wengi ambao wako na al-Ikhwaan al-Muslimuun wako nao kwa ajili ya tu ya maslahi ya kidunia. Wengi walionao wako nao kwa ajili ya maslahi ya kidunia.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/sounds.php?sound_id=27
Imechapishwa: 03/05/2020
https://firqatunnajia.com/wengi-walio-pamoja-na-al-ikhwaan-al-muslimuun-ni-kwa-ajili-ya-maslahi/