Swali: Wazushi ni bora kuliko makafiri?
Jibu: Bid´ah inatofautiana. Ikifikia kiwango cha ukafiri, nao ni makafiri kama wao. Ikiwa ni chini ya ukafiri, ni wapotevu. Wanatofautiana. Muislamu aliye na maasi au mukhalafa ambao haumtoi katika dini ni bora kuliko makafiri.
Muislamu wa kawaida ni bora kuliko wanachuoni wa makafiri na wanachuoni wa waabudu makaburi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (58) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16539
- Imechapishwa: 23/09/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)