Swali: Miili na viwiliwili atavyovifufua Allaah siku ya Qiyaamah ndio vilevile vilivyokuwa duniani?
Jibu: Ndio hivyo hivyo. Lakini vitageuzwa na vitakuwa ni kama umbile la Aadam dhiraa sitini kwenda juu angani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 127
- Imechapishwa: 18/01/2017
Swali: Miili na viwiliwili atavyovifufua Allaah siku ya Qiyaamah ndio vilevile vilivyokuwa duniani?
Jibu: Ndio hivyo hivyo. Lakini vitageuzwa na vitakuwa ni kama umbile la Aadam dhiraa sitini kwenda juu angani.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 127
Imechapishwa: 18/01/2017
https://firqatunnajia.com/watu-watafufuliwa-na-viwiliwili-vyao/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket