Swali: Je, inafaa kwa watu kushirikiana kuchinja ng´ombe au ngamia kwa ajili ya Udhhiyah?

Jibu: Ndio. Watu saba kwa ajili ya ng´ombe na saba kwa ajili ya ngamia.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
  • Imechapishwa: 29/07/2023