Swali: Niliswali Dhuhr na mkusanyiko katika mji wangu. Kisha nikasafiri baada ya swalah. Nilipotoka nje ya mji, nikaswali ´Aswr papohapo…
Jibu: Hapana, haijuzu kufanya hivo kwa sababu haujaingia wakati wake. Swali ´Aswr wakati utakapoingia wakati wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 29/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)