Swali: Je, inafaa kwa wasichana wadogo chini ya miaka saba kugusa msahafu pasi na kuwa na wudhuu´ kwa ajili ya kuwafunza Qur-aan?
Jibu: Watoto wanatakiwa wapewe bodi za kuandikia. Vilevile wanatakiwa kufunzwa wudhuu´. Haifai kugusa msahafu isipokuwa kwa aliyetawadha.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (12) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191546
- Imechapishwa: 18/08/2019
Swali: Je, inafaa kwa wasichana wadogo chini ya miaka saba kugusa msahafu pasi na kuwa na wudhuu´ kwa ajili ya kuwafunza Qur-aan?
Jibu: Watoto wanatakiwa wapewe bodi za kuandikia. Vilevile wanatakiwa kufunzwa wudhuu´. Haifai kugusa msahafu isipokuwa kwa aliyetawadha.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (12) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191546
Imechapishwa: 18/08/2019
https://firqatunnajia.com/watoto-wapewe-bodi-za-kuandikia-na-si-misahafu/