Swali: Unasemaje juu ya kitabu “al-Muhallaa” ya Ibn Hazm?
Jibu: Ni chenye faida kwa wanachuoni. Wanafunzi hawatakiwi kujishughulisha nacho ili wasije kutumbukia katika yale yaliyowafanya wengi katika wanachuoni wa waislamu kupinda.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Raabigh (6)
Swali: Unasemaje juu ya kitabu “al-Muhallaa” ya Ibn Hazm?
Jibu: Ni chenye faida kwa wanachuoni. Wanafunzi hawatakiwi kujishughulisha nacho ili wasije kutumbukia katika yale yaliyowafanya wengi katika wanachuoni wa waislamu kupinda.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Raabigh (6)
https://firqatunnajia.com/wasisome-al-muhallaa-ya-ibn-hazm/