Swali: Unasemaje juu ya kitabu “al-Muhallaa” ya Ibn Hazm?
Jibu: Ni chenye faida kwa wanachuoni. Wanafunzi hawatakiwi kujishughulisha nacho ili wasije kutumbukia katika yale yaliyowafanya wengi katika wanachuoni wa waislamu kupinda.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Raabigh (6)
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)