Swali: Je, ni kweli mwenye kumsikiliza msomaji Qur-aan anapata ujira sawa na yule mwenye kusoma?
Jibu: Hapana, anapata thawabu za kusikiliza. Allaah (´Azza wa ´Alaa) amesema:
وَإِذَا قُرِئَ الْقُرْآنُ فَاسْتَمِعُوا لَهُ وَأَنصِتُوا لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
“Inaposomwa Qur-aan basi isikilizeni na nyamazeni kimya ili mpate kurehemewa.” (07:204)
Anapata huruma wa Allaah (´Azza wa Jall) na analipwa thawabu kwa ajili ya hili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17477
- Imechapishwa: 25/11/2017
Swali: Je, ni kweli mwenye kumsikiliza msomaji Qur-aan anapata ujira sawa na yule mwenye kusoma?
Jibu: Hapana, anapata thawabu za kusikiliza. Allaah (´Azza wa ´Alaa) amesema:
وَإِذَا قُرِئَ الْقُرْآنُ فَاسْتَمِعُوا لَهُ وَأَنصِتُوا لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
“Inaposomwa Qur-aan basi isikilizeni na nyamazeni kimya ili mpate kurehemewa.” (07:204)
Anapata huruma wa Allaah (´Azza wa Jall) na analipwa thawabu kwa ajili ya hili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17477
Imechapishwa: 25/11/2017
https://firqatunnajia.com/wasikilizaji-qur-aan-wanapata-rehema-za-allaah/