Wasichana wa mtaliki wangu ni halali kwa wavulana wangu?

Swali: Nilimuoa mwanamke, kisha nikamtaliki. Baadaye akaolewa na mwanaume mwingine, akapata watoto wa kike. Je, wasichana hao ni halali kwa watoto wangu wa kiume?

Jibu: Wanakuwa halali kwa watoto wako wa kiume ikiwa hakuna uyononyeshaji uliopo kati yao. Ama kwako wewe hapana. Wasichana wa mume wake wanahalalika kwa watoto wako.

  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1949/حكم-زواج-اولاد-الرجل-ببنات-مطلقته-من-رجل-اخر
  • Imechapishwa: 30/05/2026