Swali: Katika machinjio ya kusini mwa Riyaadh niliingia na kuwakuta wanapuliza hewa kwenye mnyama aliyechinjwa. Je, upi mtazamo wa Shari´ah kuhusu hilo?
Jibu: Kupuliza hewa hakuna ubaya. Kuacha ni bora zaidi, lakini si haramu. Kuacha kupuliza ni bora. Kuchuna ngozi bila kupuliza hewa ikiwa kuna uwezekano, hiyo ni bora zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1958/حكم-نفخ-الذبيحة
- Imechapishwa: 30/05/2026
Swali: Katika machinjio ya kusini mwa Riyaadh niliingia na kuwakuta wanapuliza hewa kwenye mnyama aliyechinjwa. Je, upi mtazamo wa Shari´ah kuhusu hilo?
Jibu: Kupuliza hewa hakuna ubaya. Kuacha ni bora zaidi, lakini si haramu. Kuacha kupuliza ni bora. Kuchuna ngozi bila kupuliza hewa ikiwa kuna uwezekano, hiyo ni bora zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1958/حكم-نفخ-الذبيحة
Imechapishwa: 30/05/2026
https://firqatunnajia.com/kupuliza-hewa-kwenye-mnyama-wakati-wa-kumchuna/