Swali: Kulitokea tatizo baina yangu mimi na mke wangu kutokana na ugomvi uliotokea. Karibu miezi mitano anaomba Talaka na bado anaendelea na msimamo wake huo. Ni ipi nasaha yako kwangu na kwake?
Jibu: Nawausia kila mmoja wenu amche Allaah na amtendee wema mwenziwe. Hii ndio nasaha yangu. Ikiwa sikupatia, nendeni katika mahakama ya Kishari´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13810
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket