Swali: Ni ipi hukumu ya kuwapa wahitaji wanaokuwa misikitini?
Jibu: Ikiwa hujui kuwa ni waongo wape kujengea juu ya uinje wao. Mwombaji anayo haki. Lakini ukijua kuwa ni waongo usiwape.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
- Imechapishwa: 21/01/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwapa wahitaji wanaokuwa misikitini?
Jibu: Ikiwa hujui kuwa ni waongo wape kujengea juu ya uinje wao. Mwombaji anayo haki. Lakini ukijua kuwa ni waongo usiwape.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
Imechapishwa: 21/01/2021
https://firqatunnajia.com/waombaji-misikitini/