Swali: Je, wanyama wa majini wanaoishi majini na nchikavu kama mamba, kaa na mfano wake inajuzu kuliwa?
Jibu: Ikiwa anashambulia anakuwa miongoni mwa wale wanyama wakali. Allaah ameharamisha wanyama wakali. Lakini ikiwa anaishi baharini, basi sahihi ni kuwa mawindo yote ya baharini ni halali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25338/ما-حكم-الحيوانات-البرماىية-كالتمساح-والسرطان
- Imechapishwa: 28/02/2025
Swali: Je, wanyama wa majini wanaoishi majini na nchikavu kama mamba, kaa na mfano wake inajuzu kuliwa?
Jibu: Ikiwa anashambulia anakuwa miongoni mwa wale wanyama wakali. Allaah ameharamisha wanyama wakali. Lakini ikiwa anaishi baharini, basi sahihi ni kuwa mawindo yote ya baharini ni halali.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25338/ما-حكم-الحيوانات-البرماىية-كالتمساح-والسرطان
Imechapishwa: 28/02/2025
https://firqatunnajia.com/wanyama-wanaoishi-majini-na-nchikavu/