332 – Nilimuuliza kuhusu maoni ya jopo kubwa ya wanazuoni wanaona kuwa ni lazima asali itolewe zakaah au hapana?
Jibu: Kikosi kikubwa cha wanazuoni wanaona kuwa si lazima kuitolea zakaah, jambo ambalo ndio sahihi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 118
- Imechapishwa: 31/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
332 – Nilimuuliza kuhusu maoni ya jopo kubwa ya wanazuoni wanaona kuwa ni lazima asali itolewe zakaah au hapana?
Jibu: Kikosi kikubwa cha wanazuoni wanaona kuwa si lazima kuitolea zakaah, jambo ambalo ndio sahihi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 118
Imechapishwa: 31/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/wanazuoni-wengi-kuhusu-zakaah-ya-asali/