Miongoni mwa faida ya Haiyth hii – Hadiyth ya Mu´aadh kutumwa Yemen – ni pamoja na kwamba Witr sio wajibu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuitaja. Ametaja tu swalah tano [kwamba ndio wajibu]. Haya ndio maoni yenye nguvu miongoni mwa maoni ya wanachuoni.
Wapo wanachuoni waliosema kuwa Witr ni wajibu.
Wengine wakafafanua zaidi na kusema yule ambaye ana mazowea ya kuswali na kusimama usiku, basi Witr kwake ni wajibu na yule asiyekuwa na mazowea basi sio wajibu.
Maoni sahihi ni kwamba sio wajibu kabisa. Kwa kuwa lau ingelikuwa wajibu basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) angeliibainisha.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/504)
- Imechapishwa: 23/09/2025
Miongoni mwa faida ya Haiyth hii – Hadiyth ya Mu´aadh kutumwa Yemen – ni pamoja na kwamba Witr sio wajibu. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuitaja. Ametaja tu swalah tano [kwamba ndio wajibu]. Haya ndio maoni yenye nguvu miongoni mwa maoni ya wanachuoni.
Wapo wanachuoni waliosema kuwa Witr ni wajibu.
Wengine wakafafanua zaidi na kusema yule ambaye ana mazowea ya kuswali na kusimama usiku, basi Witr kwake ni wajibu na yule asiyekuwa na mazowea basi sio wajibu.
Maoni sahihi ni kwamba sio wajibu kabisa. Kwa kuwa lau ingelikuwa wajibu basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) angeliibainisha.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/504)
Imechapishwa: 23/09/2025
https://firqatunnajia.com/wanazuoni-kuhusu-swalah-ya-witr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
