Swali: Baadhi ya wanawake wamezoea kuswali swalah ya Tarawiyh msikitini katika masiku ya Ramadhaan. Wanapojiliwa na hedhi wanasema kuwa wanataka kwenda na kuketi kandoni na msikiti ili kumfuatilia imamu na kujifunza kisomo sahihi. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Ni sawa ikiwa yuko maeneo ambayo ni nje ya msikiti. Kwa mfano karibu na msikiti, nje ya msikiti. Hapana vibaya.
Swali: Katika chumba hichohicho cha wanawake?
Jibu: Ikiwa ni msikitini, hapana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24628/حكم-مكث-الحاىض-في-المصلى-لسماع-التراويح
- Imechapishwa: 15/11/2024
Swali: Baadhi ya wanawake wamezoea kuswali swalah ya Tarawiyh msikitini katika masiku ya Ramadhaan. Wanapojiliwa na hedhi wanasema kuwa wanataka kwenda na kuketi kandoni na msikiti ili kumfuatilia imamu na kujifunza kisomo sahihi. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Ni sawa ikiwa yuko maeneo ambayo ni nje ya msikiti. Kwa mfano karibu na msikiti, nje ya msikiti. Hapana vibaya.
Swali: Katika chumba hichohicho cha wanawake?
Jibu: Ikiwa ni msikitini, hapana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24628/حكم-مكث-الحاىض-في-المصلى-لسماع-التراويح
Imechapishwa: 15/11/2024
https://firqatunnajia.com/wanawake-wenye-hedhi-wanaoenda-misikitini-wakati-wa-tarawiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
