Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kumuonesha baadhi ya ´Awrah yake mwanamke mwenzake?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi, sawa kwa mwanamke au mwanaume. Isipokuwa ikiwa ameenda kutibiwa kwa daktari mwanaume na akalazimika kuonesha kitu katika ´Awrah yake kwa ajili ya matibabu, katika hali hii hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kumuonesha baadhi ya ´Awrah yake mwanamke mwenzake?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi, sawa kwa mwanamke au mwanaume. Isipokuwa ikiwa ameenda kutibiwa kwa daktari mwanaume na akalazimika kuonesha kitu katika ´Awrah yake kwa ajili ya matibabu, katika hali hii hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/wanawake-kuoneshana-awrah-zao/