Swali: Vipi ikikadiriwa wanaume wanasikia dufu la wanawake?

Jibu: Hata kama. Kupiga dufu ni Sunnah kwa wanawake. Hata hivyo haitakiwi kwao kunyanyua sauti sana.

Swali: Baadhi ya ndugu wanaposikia dufu wanakemea?

Jibu: Hapana. Muda wa kuwa ni kati ya wanawake haidhuru. Haijalishi kitu ikiwa watasikia walioko pambizoni na mlango. Huku ni kwa ajili ya kutangaza ndoa. Kutangaza ndoa hakukuwi isipokuwa kwa kufanya hivo. Vipi itakuwa kutangaza ikiwa hawasikii? Wasikie wanawake wenziwe.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23848/حكم-سماع-الرجال-دف-النساء-في-النكاح
  • Imechapishwa: 18/05/2024