Swali: Vipi akitumia fedha zaidi ya pete?
Jibu: Sijui ubaya wowote wa hayo. Hata hivyo bora ni kuacha kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitumia pete moja. Vivyo hivyo Maswahabah walitumia pete moja kwenye kidole kidogo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24039/حكم-التختم-باكثر-من-خاتم-فضة-للرجال
- Imechapishwa: 24/08/2024
Swali: Vipi akitumia fedha zaidi ya pete?
Jibu: Sijui ubaya wowote wa hayo. Hata hivyo bora ni kuacha kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitumia pete moja. Vivyo hivyo Maswahabah walitumia pete moja kwenye kidole kidogo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24039/حكم-التختم-باكثر-من-خاتم-فضة-للرجال
Imechapishwa: 24/08/2024
https://firqatunnajia.com/wanaume-kutumia-fedha-nyingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)