Swali: Je, wale wanaopendana kwa ajili ya Allaah watakuwa na daraja sawa katika Pepo au watatofautiana?
Jibu: Allaah (´Azza wa Jall) anasema:
”Wako wapi wanaopendana kwa ajili ya Utukufu Wangu? Hakika leo nitawatia kivulini katika kivuli Changu siku ambayo hakutakuwa na kivuli isipokuwa kivuli Changu.”
Hadiyth nyingine inasema:
“Aina saba ambao Allaah atawatia kivulini katika kivuli Chake… ”
Miongoni mwao akataja wale wanaopendana kwa ajili ya Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29289/هل-تتفاوت-درجات-المتحابين-في-الله-في-الجنة
- Imechapishwa: 31/05/2025
Swali: Je, wale wanaopendana kwa ajili ya Allaah watakuwa na daraja sawa katika Pepo au watatofautiana?
Jibu: Allaah (´Azza wa Jall) anasema:
”Wako wapi wanaopendana kwa ajili ya Utukufu Wangu? Hakika leo nitawatia kivulini katika kivuli Changu siku ambayo hakutakuwa na kivuli isipokuwa kivuli Changu.”
Hadiyth nyingine inasema:
“Aina saba ambao Allaah atawatia kivulini katika kivuli Chake… ”
Miongoni mwao akataja wale wanaopendana kwa ajili ya Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29289/هل-تتفاوت-درجات-المتحابين-في-الله-في-الجنة
Imechapishwa: 31/05/2025
https://firqatunnajia.com/wanaopendana-kwa-ajili-ya-allaah-watakuwa-katika-ngazi-moja/