Swali: Je, wale wanaopendana kwa ajili ya Allaah watakuwa na daraja sawa katika Pepo au watatofautiana?
Jibu: Allaah (´Azza wa Jall) anasema:
”Wako wapi wanaopendana kwa ajili ya Utukufu Wangu? Hakika leo nitawatia kivulini katika kivuli Changu siku ambayo hakutakuwa na kivuli isipokuwa kivuli Changu.”
Hadiyth nyingine inasema:
“Aina saba ambao Allaah atawatia kivulini katika kivuli Chake… ”
Miongoni mwao akataja wale wanaopendana kwa ajili ya Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29289/هل-تتفاوت-درجات-المتحابين-في-الله-في-الجنة
- Imechapishwa: 31/05/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket