Swali: Je, inajuzu kwa wanandoa kumdhukuru Allaah wakati wanafanya jimaa?
Jibu: Yaliyothibiti ni kabla ya kuanza ndio mwanaume anatakiwa kumtaja Allaah kwa kusema “Allaahumma jannibnash-Shaytwaan, wa jannib ash-Shaytwaana maa razaqtana”.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, inajuzu kwa wanandoa kumdhukuru Allaah wakati wanafanya jimaa?
Jibu: Yaliyothibiti ni kabla ya kuanza ndio mwanaume anatakiwa kumtaja Allaah kwa kusema “Allaahumma jannibnash-Shaytwaan, wa jannib ash-Shaytwaana maa razaqtana”.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/wanandoa-kumdhukuru-allaah-wakati-wako-wanafanya-jimaa/