Swali: Unasemaje juu ya mtu mwenye kueneza utata juu ya “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy?
Jibu: Kitabu sahihi zaidi baada ya Qur-aan ni ya “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy. Hakuna mwenye kukienezea utata isipokuwa ima ni mjinga au mtu aliyepinda.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 27/02/2018
Swali: Unasemaje juu ya mtu mwenye kueneza utata juu ya “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy?
Jibu: Kitabu sahihi zaidi baada ya Qur-aan ni ya “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy. Hakuna mwenye kukienezea utata isipokuwa ima ni mjinga au mtu aliyepinda.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 27/02/2018
https://firqatunnajia.com/wanaeneza-utata-juu-ya-as-swahiyh-ya-al-bukhaariy/