https://www.youtube.com/watch?v=DJKl4tlweBg
Swali: Leo kuko ambao wanatahadharisha Shaykh Rabiy´ na Shaykh Muhammad Amaan al-Jaamiy na wanasema ya kwamba watu hawa wanajishughulisha tu na kusengenya na kuwaongelea watu na wala kamwe hawazungumzii kuhusu Tawhiyd. Vipi tutawaraddi?
Jibu: Tunawaraddi kwa sentesi yao ya mwisho. Shaykh Muhammad [al-Jaamiy] karibu maneno yake yote ni kuhusu Tawhiyd. Shaykh Rabiy´ karibu maneno yake yote ni kuhusu kuitetea ´Aqiydah na Sunnah. Allaah amrehemu aliyetangulia na amuwafikishe aliyebaki. Vitabu vyao vinathibitisha hilo. Mithali inasema ya kwamba maji yanamfichukua mwenye kudai ya kwamba anajua kuogelea ilihali ni mwongo.
- Muhusika: Shaykh Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=141264
- Imechapishwa: 15/05/2018
Swali: Leo kuko ambao wanatahadharisha Shaykh Rabiy´ na Shaykh Muhammad Amaan al-Jaamiy na wanasema ya kwamba watu hawa wanajishughulisha tu na kusengenya na kuwaongelea watu na wala kamwe hawazungumzii kuhusu Tawhiyd. Vipi tutawaraddi?
Jibu: Tunawaraddi kwa sentesi yao ya mwisho. Shaykh Muhammad [al-Jaamiy] karibu maneno yake yote ni kuhusu Tawhiyd. Shaykh Rabiy´ karibu maneno yake yote ni kuhusu kuitetea ´Aqiydah na Sunnah. Allaah amrehemu aliyetangulia na amuwafikishe aliyebaki. Vitabu vyao vinathibitisha hilo. Mithali inasema ya kwamba maji yanamfichukua mwenye kudai ya kwamba anajua kuogelea ilihali ni mwongo.
Muhusika: Shaykh Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=141264
Imechapishwa: 15/05/2018
https://firqatunnajia.com/wanachuoni-hawa-kazi-yao-ni-kusengenya-watu-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
