https://www.youtube.com/watch?v=DJKl4tlweBg
Swali: Leo kuko ambao wanatahadharisha Shaykh Rabiy´ na Shaykh Muhammad Amaan al-Jaamiy na wanasema ya kwamba watu hawa wanajishughulisha tu na kusengenya na kuwaongelea watu na wala kamwe hawazungumzii kuhusu Tawhiyd. Vipi tutawaraddi?
Jibu: Tunawaraddi kwa sentesi yao ya mwisho. Shaykh Muhammad [al-Jaamiy] karibu maneno yake yote ni kuhusu Tawhiyd. Shaykh Rabiy´ karibu maneno yake yote ni kuhusu kuitetea ´Aqiydah na Sunnah. Allaah amrehemu aliyetangulia na amuwafikishe aliyebaki. Vitabu vyao vinathibitisha hilo. Mithali inasema ya kwamba maji yanamfichukua mwenye kudai ya kwamba anajua kuogelea ilihali ni mwongo.
- Muhusika: Shaykh Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=141264
- Imechapishwa: 15/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)