Swali: Je, Jamaal-ud-Diyn al-Afghaaniy na Muhammad ´Abduh wanazingatiwa ni katika wanachuoni? Ni ipi hali yao? Ni vipi upotevu wao?
Jibu: Ni wamasoni ambao wamewaharibu vijana Misri katika zama zao. Wamewaharibu watunzi wengi wa vitabu mpaka Muhammad Rashiyd Ridhwaa´. Nina kijitabu juu yake kwa jina “Ruduud Ahl-il-´Ilm”. Kwa sababu ya ufinyu wa wakati ninawarejesha katika kitabu ”Manhaj-ul-Madraswah al-´Aqliyyah fiyt-Tafsiyr”na ”Jamaal-ud-Diyn al-Afghaaniy fiy Miyzaan-il-Islaam”. Wawili hawa ni katika viongozi wa upotevu na wako karibu zaidi na ukafiri.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 194
- Imechapishwa: 14/03/2020
Swali: Je, Jamaal-ud-Diyn al-Afghaaniy na Muhammad ´Abduh wanazingatiwa ni katika wanachuoni? Ni ipi hali yao? Ni vipi upotevu wao?
Jibu: Ni wamasoni ambao wamewaharibu vijana Misri katika zama zao. Wamewaharibu watunzi wengi wa vitabu mpaka Muhammad Rashiyd Ridhwaa´. Nina kijitabu juu yake kwa jina “Ruduud Ahl-il-´Ilm”. Kwa sababu ya ufinyu wa wakati ninawarejesha katika kitabu ”Manhaj-ul-Madraswah al-´Aqliyyah fiyt-Tafsiyr”na ”Jamaal-ud-Diyn al-Afghaaniy fiy Miyzaan-il-Islaam”. Wawili hawa ni katika viongozi wa upotevu na wako karibu zaidi na ukafiri.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 194
Imechapishwa: 14/03/2020
https://firqatunnajia.com/wamasomi-wawili-hawa-wamewaharibu-vijana-wa-kimisri-na-watunzi-wa-vitabu/