Swali 344: Ni wakati upi wa mwisho mtu anaweza kuiwahi swalah ya Witr?
Jibu: Ni ule wakati wa mwisho katika usiku kabla ya kuchomoza kwa alfajiri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah ya usiku ni [Rak´ah] mbili mbili. Atapochelea mmoja wenu kuingiliwa naa Subh basi aswali Rak´ah moja awitirishe kile alichokiswali.”
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 132
- Imechapishwa: 03/09/2019
Swali 344: Ni wakati upi wa mwisho mtu anaweza kuiwahi swalah ya Witr?
Jibu: Ni ule wakati wa mwisho katika usiku kabla ya kuchomoza kwa alfajiri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah ya usiku ni [Rak´ah] mbili mbili. Atapochelea mmoja wenu kuingiliwa naa Subh basi aswali Rak´ah moja awitirishe kile alichokiswali.”
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 132
Imechapishwa: 03/09/2019
https://firqatunnajia.com/wakati-wa-mwisho-wa-witr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)