Swali: Kigezo ni wakati wa kuonekana kwake? Kwa maana nyingine vipi ikiwa wataona mwezi mwandamo mchana?
Jibu: Kigezo ni baada ya kuzama kwa jua katika usiku wa tarehe thelathini, kilicho kabla yake hakizingatiwi.
Swali: Na vipi ikiwa watauona usiku saa kumi na moja usiku?
Jibu: Hauzingatiwi isipokuwa baada ya kuzama kwa jua katika jioni ya tarehe ishirini na tisa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25432/ما-الوقت-المعتبر-لروية-الهلال
- Imechapishwa: 19/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)