Swali: Kigezo ni wakati wa kuonekana kwake? Kwa maana nyingine vipi ikiwa wataona mwezi mwandamo mchana?
Jibu: Kigezo ni baada ya kuzama kwa jua katika usiku wa tarehe thelathini, kilicho kabla yake hakizingatiwi.
Swali: Na vipi ikiwa watauona usiku saa kumi na moja usiku?
Jibu: Hauzingatiwi isipokuwa baada ya kuzama kwa jua katika jioni ya tarehe ishirini na tisa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25432/ما-الوقت-المعتبر-لروية-الهلال
- Imechapishwa: 19/03/2025
Swali: Kigezo ni wakati wa kuonekana kwake? Kwa maana nyingine vipi ikiwa wataona mwezi mwandamo mchana?
Jibu: Kigezo ni baada ya kuzama kwa jua katika usiku wa tarehe thelathini, kilicho kabla yake hakizingatiwi.
Swali: Na vipi ikiwa watauona usiku saa kumi na moja usiku?
Jibu: Hauzingatiwi isipokuwa baada ya kuzama kwa jua katika jioni ya tarehe ishirini na tisa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25432/ما-الوقت-المعتبر-لروية-الهلال
Imechapishwa: 19/03/2025
https://firqatunnajia.com/wakati-unaozingatiwa-kuona-mwezi-mwandamo/