Swali: Kuna ambao wanaanza kutoa Zakaat-ul-Fitwr siku saba au tano kabla ya kuswaliswa ´iyd?
Jibu: Hapana, hapana. Haizingatiwi isipokuwa siku moja au siku mbili kabla ya ´iyd. Wakati ulio bora wa kuitoa ni kuanzia usiku wa kuamkia ´iyd mpaka pale imamu anapoenda kuswali swalah ya ´iyd.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15621
- Imechapishwa: 20/06/2017
Swali: Kuna ambao wanaanza kutoa Zakaat-ul-Fitwr siku saba au tano kabla ya kuswaliswa ´iyd?
Jibu: Hapana, hapana. Haizingatiwi isipokuwa siku moja au siku mbili kabla ya ´iyd. Wakati ulio bora wa kuitoa ni kuanzia usiku wa kuamkia ´iyd mpaka pale imamu anapoenda kuswali swalah ya ´iyd.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15621
Imechapishwa: 20/06/2017
https://firqatunnajia.com/wakati-bora-wa-kutoa-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket