Swali: Unajua yanayoendelea Iraaq na Syria ya wale wanaojiita “dola ya Kiislamu”. Ni wajibu upi tulio nao juu ya hilo?
Jibu: La wajibu ni Du´aa na kumnyenyekea Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Huwezi zaidi ya hili. Lililo la wajibu kwako ni kumuomba Allaah na kumuomba Awaokoea Waislamu na Awaponde makafiri, wanafiki na maadui wa Dini. Hili ndio unaloliweza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqa-06-09-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 07/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)