Swali: Je, inajuzu kushirikiana na mapote ya dini au ya kisiasa ambayo yanalingania katika Tawhiyd – kutokana na wanavyodai?
Jibu: Sio kila madai yanakuwa ni kweli. Hatujui. Thibitisha kwanza hili na warejelee wanachuoni wenu ili wathibitishe mambo haya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 03/04/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)