Swali: Tumeona katika jamii nyingi wasionyoa wala kupunguza masharubu. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Wanaenda kinyume na Sunnah. Hukumu yao ni kuwa wanaenda kinyume na Sunnah. Ikiwa ni Muislamu basi unatakiwa kumnasihi na kumbainishia Sunnah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-10-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Tumeona katika jamii nyingi wasionyoa wala kupunguza masharubu. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Wanaenda kinyume na Sunnah. Hukumu yao ni kuwa wanaenda kinyume na Sunnah. Ikiwa ni Muislamu basi unatakiwa kumnasihi na kumbainishia Sunnah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-10-13.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/waislamu-wanaofuga-masharubu-yao/