Swali: Kuna mambo anayafanya dada yangu yenye kuashiria kuwa amelogwa. Bora nimsomee mwenyewe au nende naye kwa mmoja katika wafanya matabano?
Jibu: Yote mawili yanajuzu. Ima unaweza kumsomea au ukaenda naye kwa wafanya matabano waaminifu. Wafanya matabamo wenye kuaminika na sio wachawi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
- Imechapishwa: 29/07/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)