Swali: Waja wema ambao ni Wadd, Suwaa´ na wengineo walikuwa hai katika kipindi cha Nuuh au kabla yake?
Jibu: Waliabudiwa zama za Nuuh. Walikuwepo kabla ya zama za Nuuh (´alayhis-Salaam). Yalibaki kuwa ni masanamu na yakitajwa na watu mpaka wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yeye ndiye ambaye aliyaondosha pembezoni mwa Ka´bah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 12
- Imechapishwa: 02/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)