Swali: Mimi ni msomaji Ruqyah ambaye ninawasomea wahitaji na wagonjwa na sipokei pesa hata moja. Ninachotaka ni ujira kutoka kwa Allaah na ninamuomba anikubalie kitendo changu. Nimejiwa na wachawi na mashaytwaan ambao wamenitisha na kuniudhi mimi na familia yangu. Je, niache Ruqyah kwa ajili ya jambo hili. Unaninasihi nini?
Jibu: Mtegemee Allaah na usiache Ruqyah. Usiache Ruqyah na usitishike na vitisho vyao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (44) http://alfawzan.af.org.sa/node/2150
- Imechapishwa: 06/09/2020
Swali: Mimi ni msomaji Ruqyah ambaye ninawasomea wahitaji na wagonjwa na sipokei pesa hata moja. Ninachotaka ni ujira kutoka kwa Allaah na ninamuomba anikubalie kitendo changu. Nimejiwa na wachawi na mashaytwaan ambao wamenitisha na kuniudhi mimi na familia yangu. Je, niache Ruqyah kwa ajili ya jambo hili. Unaninasihi nini?
Jibu: Mtegemee Allaah na usiache Ruqyah. Usiache Ruqyah na usitishike na vitisho vyao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (44) http://alfawzan.af.org.sa/node/2150
Imechapishwa: 06/09/2020
https://firqatunnajia.com/wachawi-wanamtisha-aache-matabano/