Swali: Ikiwa mwenye chakula ni mnaswara. Je, inajuzu kula kwake?
Jibu: Hapana neno ikiwa ni mnaswara aliye chini ya ahadi ya amani. Vivyo hivyo kuhusu myahudi. Vyakula vyao ni halali kwetu. Vyakula vya watu wa Kitabu ni halali kwetu.
Swali: Vipi ikiwa hawakutaja jina la Allaah?
Jibu: Taja wewe [kabla ya kuanza kula].
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28705/حكم-طعام-اهل-الكتاب-اذا-لم-يسموا
- Imechapishwa: 24/04/2025
Swali: Ikiwa mwenye chakula ni mnaswara. Je, inajuzu kula kwake?
Jibu: Hapana neno ikiwa ni mnaswara aliye chini ya ahadi ya amani. Vivyo hivyo kuhusu myahudi. Vyakula vyao ni halali kwetu. Vyakula vya watu wa Kitabu ni halali kwetu.
Swali: Vipi ikiwa hawakutaja jina la Allaah?
Jibu: Taja wewe [kabla ya kuanza kula].
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28705/حكم-طعام-اهل-الكتاب-اذا-لم-يسموا
Imechapishwa: 24/04/2025
https://firqatunnajia.com/vyakula-vya-watu-wa-kitabu-ambavyo-hawakutaja-jina-la-allaah/