Swali: Ikiwa mwenye chakula ni mnaswara. Je, inajuzu kula kwake?
Jibu: Hapana neno ikiwa ni mnaswara aliye chini ya ahadi ya amani. Vivyo hivyo kuhusu myahudi. Vyakula vyao ni halali kwetu. Vyakula vya watu wa Kitabu ni halali kwetu.
Swali: Vipi ikiwa hawakutaja jina la Allaah?
Jibu: Taja wewe [kabla ya kuanza kula].
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28705/حكم-طعام-اهل-الكتاب-اذا-لم-يسموا
- Imechapishwa: 24/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)