Swali: Pindi mtu anapokataza maovu kuna baadhi ya watu wanaosema mtu awaachie viumbe Muumba. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana. Haijuzu kusema hivo. Maovu yanatakiwa kukemewa na kubainishwa kwa watu. Haitakiwi kusema waachwe viumbe kwa Muumba. Waachwe wafanye watakavyo ili Allaah awahesabu? Hapana, ni wajibu wako kuamrisha mema, kukataza maovu na kulingania kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)