Swali: Miongoni mwa mambo yaliyokuwa mashuhuri kwa Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) ni kwamba vichenguzi vya Uislamu ni kumi. Ni kwa nini alikomeka juu ya idadi hii[1]? Ni katika kichenguzi kipi anaingia mwenye kuacha swalah?
Jibu: Shaykh-ul-Islaam (Rahimahu Allaah) alipotaja vitenguzi vya Uislamu kwamba ni kumi haikuwa kwa njia ya ukomo. Bali ni kwa njia ya mfano. Kwa msemo mwingine maana yake ni kwamba miongoni mwa vitenguzi vya Uislamu ni pamoja na hivi kumi.
Shaykh-ul-Islaam (Rahimahu Allaah) aliishi katika wakati ambapo kulikuwa na shirki. Ndipo akataja vitenguzi vya Uislamu kwa kuzingatia wakati wake hali ya kuwatahadharisha watu juu ya vitenguzi hivi.
Kuhusu mwenye kuacha swalah, Qur-aan, Sunnah na maafikiano ya Maswahabah ambayo yamenukuliwa na zaidi ya mmoja, vyote ni vyenye kufahamisha dalili ya kwamba mwenye kuacha swalah ni kafiri. Haijalishi kitu hata kama atafanya hivo kwa uvivu.
[1] https://firqatunnajia.com/hakuna-vitenguzi-isipokuwa-tu-vile-kumi-alivyotaja-imaam-ibn-abdil-wahhaab/
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (48) http://binothaimeen.net/content/1109
- Imechapishwa: 10/04/2019
Swali: Miongoni mwa mambo yaliyokuwa mashuhuri kwa Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) ni kwamba vichenguzi vya Uislamu ni kumi. Ni kwa nini alikomeka juu ya idadi hii[1]? Ni katika kichenguzi kipi anaingia mwenye kuacha swalah?
Jibu: Shaykh-ul-Islaam (Rahimahu Allaah) alipotaja vitenguzi vya Uislamu kwamba ni kumi haikuwa kwa njia ya ukomo. Bali ni kwa njia ya mfano. Kwa msemo mwingine maana yake ni kwamba miongoni mwa vitenguzi vya Uislamu ni pamoja na hivi kumi.
Shaykh-ul-Islaam (Rahimahu Allaah) aliishi katika wakati ambapo kulikuwa na shirki. Ndipo akataja vitenguzi vya Uislamu kwa kuzingatia wakati wake hali ya kuwatahadharisha watu juu ya vitenguzi hivi.
Kuhusu mwenye kuacha swalah, Qur-aan, Sunnah na maafikiano ya Maswahabah ambayo yamenukuliwa na zaidi ya mmoja, vyote ni vyenye kufahamisha dalili ya kwamba mwenye kuacha swalah ni kafiri. Haijalishi kitu hata kama atafanya hivo kwa uvivu.
[1] https://firqatunnajia.com/hakuna-vitenguzi-isipokuwa-tu-vile-kumi-alivyotaja-imaam-ibn-abdil-wahhaab/
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (48) http://binothaimeen.net/content/1109
Imechapishwa: 10/04/2019
https://firqatunnajia.com/vitenguzi-vya-uislamu-na-ukafiri-wa-mwenye-kuacha-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)