Watu wanatofautiana inapokuja katika vitabu. Mtu wa kawaida anatakiwa kusoma vitabu kama:
1 – Riyaadh-us-Swaalihiyn
2 –”Tafsiyr al-Qur-aan al-´Adhwiym” ya Ibn Kathiyr.
3 – Buluugh-ul-Maraam
4 – Fath-ul-Majiyd Sharh Kitaab-it-Tawhiyd
5 –”ad-Durr an-Nadhwiyd” ya ash-Shawkaaniy.
6 – ”Tatwhiyr-ul-I´tiqaad” ya as-Swan´aaniy.
7 – al-Lu’lu’ wal-Marjaan.
Vitabu hivi mtu wa kawaida anatakiwa kuwa navyo.
Kuhusu ambaye yuko na ngazi ya juu kidogo kuliko mtu wa kawaida anatakiwa kusoma “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy na ya Muslim. Aidha akiweza kupata vile vitabu vya “as-Sunan” ya Abu Daawuud, at-Tirmidhiy, an-Nasaa´iy na Ibn Maajah, ni jambo zuri. Vitabu hivi vinamsahilishia mtu ambaye anasoma na kuandika na anaipenda elimu.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 494-495
- Imechapishwa: 10/05/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket