Swali: Tutangamane vipi na Suufiy?
Jibu: Kwa kumlingania katika dini ya Allaah na kumbainishia. Asipoelekea tunaachana nae, tunajitenga mbali nae na tunamzingatia ni katika watu wa Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2056
- Imechapishwa: 14/04/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)