Swali: Vipi kuoanisha kati ya Hadiyth inayosema:
”Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali Fajr wakati wa giza la alfajiri.”
na maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yake kupitia yale yaliyopokelewa na watano:
“Chelewesheni Subh mpaka mwone mwangaza, kwani kufanya hivo kuna malipo makubwa.”?
Jibu: Maana yake ni kwamba awe na uhakika. Hivyo asifanye haraka kuswali Subh na asiiweke katika hali ya khatari.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25303/ما-الجمع-بين-حديثي-صلاة-الفجر-بغلس-والاسفار
- Imechapishwa: 27/02/2025
Swali: Vipi kuoanisha kati ya Hadiyth inayosema:
”Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali Fajr wakati wa giza la alfajiri.”
na maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yake kupitia yale yaliyopokelewa na watano:
“Chelewesheni Subh mpaka mwone mwangaza, kwani kufanya hivo kuna malipo makubwa.”?
Jibu: Maana yake ni kwamba awe na uhakika. Hivyo asifanye haraka kuswali Subh na asiiweke katika hali ya khatari.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25303/ما-الجمع-بين-حديثي-صلاة-الفجر-بغلس-والاسفار
Imechapishwa: 27/02/2025
https://firqatunnajia.com/vipi-kuoanisha-kati-ya-kuswali-fajr-mapema-na-kuchelewesha/