Swali: Je, ni jambo limesuniwa kudumu juu ya kuswali Rak´ah mbili kabla ya Maghrib?
Jibu: Ni bora.
Swali: Je, mtu aziswali daima?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kabla ya Maghrib, swalini kabla ya Maghrib.” Kisha akasema: “Kwa yule atakaye.”
Hivyo si lazima, bali ni kwa yule anayetaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25305/هل-تشرع-المحافظة-على-الركعتين-قبل-المغرب
- Imechapishwa: 27/02/2025
Swali: Je, ni jambo limesuniwa kudumu juu ya kuswali Rak´ah mbili kabla ya Maghrib?
Jibu: Ni bora.
Swali: Je, mtu aziswali daima?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kabla ya Maghrib, swalini kabla ya Maghrib.” Kisha akasema: “Kwa yule atakaye.”
Hivyo si lazima, bali ni kwa yule anayetaka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25305/هل-تشرع-المحافظة-على-الركعتين-قبل-المغرب
Imechapishwa: 27/02/2025
https://firqatunnajia.com/kudumu-kuswali-sunnah-ya-kabla-ya-swalah-ya-maghrib/