Swali 416: Kutoka kwa damu kwenye fizi za aliyefunga kunamuharibia swawm?
Jibu: Damu inayotoka kwenye meno haiathiri funga. Lakini ajitahidi kutoimeza kiasi na anavyoweza. Kadhalika iwapo atatokwa na damu puani na akajitahidi kutoimeza. Hakuna kitu katika hilo na wala haimlazimu kuilipa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 476
- Imechapishwa: 09/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)