Swali: Kuna mtu aliswali pamoja na mkusanyiko na alikuwa amepitwa baadhi ya Rak´ah ambapo akasimama kwa ajili ya kukamilisha zile Rak´ah zilizobaki kwake. Akaja mtu mwingine baada ya swalah ya mkusanyiko kumalizika na akataka kuswali pamoja na mtu huyu aliyepitwa swalah. Ni ipi hukumu ya swalah za wawili hao?
Jibu: Hakuna neno. Inafaa kuongozwa ndani ya swalah na aliyekuja kuchelewa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 09/05/2019
Swali: Kuna mtu aliswali pamoja na mkusanyiko na alikuwa amepitwa baadhi ya Rak´ah ambapo akasimama kwa ajili ya kukamilisha zile Rak´ah zilizobaki kwake. Akaja mtu mwingine baada ya swalah ya mkusanyiko kumalizika na akataka kuswali pamoja na mtu huyu aliyepitwa swalah. Ni ipi hukumu ya swalah za wawili hao?
Jibu: Hakuna neno. Inafaa kuongozwa ndani ya swalah na aliyekuja kuchelewa.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 09/05/2019
https://firqatunnajia.com/kuongozwa-ndani-ya-swalah-na-aliyepitwa-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)