Swali: Kuna mtu ana kafara ya kufunga miezi miwili; Rajab na Sha´baan. Je, akamilishe miezi hii miwili au afuate kalenda?
Jibu: Ikiwa mwezi wa Rajab umethibiti kuanza kwa kuonekana na Ramadhaan imethiti kuanza kwa kuonekana ambapo Rajab ilikuwa masiku ishirini na tisa na Sha´baan ilikuwa masiku ishirini na tisa, katika siku sitini kumepungua siku mbili. Tunasema kuwa inasihi kufanya hivo. Kwa sababu Allaah (Ta´ala) hakusema mtu afunge siku sitini kama alivosema kulisha masikini sitini inapokuja katika kafara ya kumfananisha mke na mama. Bali alisema kufunga miezi miwili. Mwezi ni ule unaokuwa baina ya kuonekana miezi miwili. Ni mamoja ni siku ishirini na tisa au siku thelathini. Au mwezi wa kwanza ikawa siku ishirini na tisa na mwezi wa pili ikawa siku thelathini. Muhimu ni kwamba kile ambacho Allaah amekiwekea mpaka wa mwezi kinakuwa kwa mwezi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1383
- Imechapishwa: 05/12/2019
Swali: Kuna mtu ana kafara ya kufunga miezi miwili; Rajab na Sha´baan. Je, akamilishe miezi hii miwili au afuate kalenda?
Jibu: Ikiwa mwezi wa Rajab umethibiti kuanza kwa kuonekana na Ramadhaan imethiti kuanza kwa kuonekana ambapo Rajab ilikuwa masiku ishirini na tisa na Sha´baan ilikuwa masiku ishirini na tisa, katika siku sitini kumepungua siku mbili. Tunasema kuwa inasihi kufanya hivo. Kwa sababu Allaah (Ta´ala) hakusema mtu afunge siku sitini kama alivosema kulisha masikini sitini inapokuja katika kafara ya kumfananisha mke na mama. Bali alisema kufunga miezi miwili. Mwezi ni ule unaokuwa baina ya kuonekana miezi miwili. Ni mamoja ni siku ishirini na tisa au siku thelathini. Au mwezi wa kwanza ikawa siku ishirini na tisa na mwezi wa pili ikawa siku thelathini. Muhimu ni kwamba kile ambacho Allaah amekiwekea mpaka wa mwezi kinakuwa kwa mwezi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1383
Imechapishwa: 05/12/2019
https://firqatunnajia.com/vipi-ikiwa-mwezi-haukutimia-siku-30-kwa-ambaye-ana-kafara-ya-mwezi-mzima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)